Kanye West ataja orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye ‘Swish’
Kanye West anaonekana tayari ameikamilisha albamu yake mpya, Swish.
Zikiwa zimebaki wiki tatu kabla ya kuachiwa rasmi, Yeezy ametumia Twitter kutaja nyimbo zilizomo kwenye kile anachokiita ‘albamu bora ya muda wote.’
So happy to be finished with the best album of all time pic.twitter.com/JBWa8OWvqw
— KANYE WEST (@kanyewest) January 25, 2016
Ameshare picha ya karatasi iliyoandikwa kwa mkono majina ya nyimbo hizo ambayo pia imesainiwa na shemeji yake, Kylie Jenner.
Chini ni nyimbo zilizomo:
1. “Ninja Chop”
2. “Father Stretch My Hands”
3. “Waves”
4. “High Lights”
5. “30 Hours”
6. “No More Parties in LA” (feat. Kendrick Lamar)
7. “Fade” (feat. Post Malone & Ty Dolla Sign)
8. “FML”
9. “Real Friends” (feat. Ty Dolla Sign)
10. “Wolves” (feat. Sia and Vic Mensa)