Burudani

Kizz Daniel awakataa Wanigeria

Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Kizz Daniel ameamua kuwatolea uvivu wanaosema kuwa mkewe ni mbaya.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram upande wa Komenti Kizz amekuwa akiwajibu mashabiki hao wanaojadili muonekano wa mkewe Oliwatobiloba Daniel.

Maneno hayo yamekuja baada ya Kizz Daniel kumpost mkewe kwenye Kurasa zake za Mitandao ya kijamii na kutangaza kuwa amemuoa miaka minne iliyopita na hivyo wasahau kama atamuacha.

 

 

 

 

 

 

 

 

Imeandikwa na Mbanga B.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents