Michezo

Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa kiungo Mohamed Ibrahim kutoka Mtibwa Sugar

Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa kiungo Mohamed Ibrahim kutoka klabu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro kwa mkataba wa miaka miwili.

IMG-20160618-WA0010

Mohamed Ibrahim anakuwa mchezaji wa nne kusajiliwa Simba msimu huu baada ya kuwasajili nyota mwingine kutoka Mtibwa Sugar Muzamir Yassin nja wachezaji wengine wawili kutoka Mwadui FC Jamal Mnyate na Emanuel Semwanza.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents