Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano
Lukamba: Wizkid au Davido wakiniomba ntafanya nao kazi siwezi kukataa hiyo nafasi
Lukamba ambaye kwa sasa anafanya pia muziki ameeleza kuwa ameacha kufanya kazi na @diamondplatnumz rasmi na amefungua kampuni yake mpya.
Akiongea na wana habari leo Dar Es Salaam @lukambaofficial ameeleza kuwa kufanya kazi na msanii kutoka Tanzania itakuwa ndoto labda amzidi @diamondplatnumz kwa ukubwa.
Mbali na hilo ameweka wazi kuwa endapo akitafutwa na wasanii kama @wizkidayo au @davido hawezi kukataa kufanya nao kazi.