HabariMichezo

Mayele mchezaji bora Afrika

Mshambuliaji mpya wa Pyramids Fiston Mayele🇨🇩 amefanikiwa kushinda tuzo ya mchezaji Bora wa Afrika anayecheza ligi ya ndani (Afrika). Baada ya kupata kura 140,000 Fiston Mayele🇨🇩 anaibuka mshindi kwa kuwashinda mchezaji wa Al Ahly Mahmoud Kahraba🇪🇬 pamoja na Khaled Bousselian kutoka USM Alger🇩🇿.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents