Mshambuliaji mpya wa Pyramids Fiston Mayele🇨🇩 amefanikiwa kushinda tuzo ya mchezaji Bora wa Afrika anayecheza ligi ya ndani (Afrika). Baada ya kupata kura 140,000 Fiston Mayele🇨🇩 anaibuka mshindi kwa kuwashinda mchezaji wa Al Ahly Mahmoud Kahraba🇪🇬 pamoja na Khaled Bousselian kutoka USM Alger🇩🇿.
Join our mailing list to get the latest news!
Related Articles
Check Also
Close
-
MUSIC AUDIO: Cassase – KILIMANJARO1 week ago
-
MUSIC AUDIO: Wakateezo Ft Msami – MUZIKI2 weeks ago