Michezo

Mayweather aamua kuingia kwenye kazi yake ya Upromota

Bondia nyota Floyd Mayweather ameamua kuweka hadharani kazi ya upromota baada ya kudiawa kufanya kimya kimya.

3a73cbab00000578-0-image-a-13_1479334605878
Mabondia Badou Jack (kushoto) na James DeGale (kulia) huku Mayweather akiwa ni promota

Mayweather ambaye amesha staafu baada ya kushinda mapambano 49, ameonekana akisimamia pambano la mabondia Badou Jack na James DeGale yeye akiwa ni promota.

3a73f47d00000578-0-image-a-14_1479334608757

DeGale (23-1-KO14) na Jack (20-1-2-KO12) mchezo huo utafanyika kwenye ukumbi wa Brooklyn Barclays Center, January 14,Mwakani 2017.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents