Mchungaji Masanja amkingia kifua Diamond ‘kuvaa kikuku kwa mwanaume sio dhambi, Mungu katuumba twende na fasheni’
Mchekeshaji maarufu nchini Tanzania, Masanja Mkandamizaji amedai kuwa kitendo cha mwanaume kuvaa cheni mguuni ( kikuku) hiyo sio dhambi katika Imani ya Kikristo bali ni fasheni tu.
Masanja amesema kuwa Kikuku ni cheni tu ya kawaida ambayo mtu anaweza akaamua kuvaa miguuni, mikononi, shingoni na hata sehemu nyingine yoyote ya mwili wake kuendana na fasheni anayoitaka na wala sio dhambi na hakuna sehemu iliyoandikwa kufanya hivyo ni dhambi.
“Kama mchungaji nasema mwanaume kuvaa kikuu mguuni sio dhambi, lakini nikawaambia kwenye maadili kuvaa kikuku unamaanisha nini? soo shinda ikiwepo kwenye maadili haina maana ni dhambi watu wanadhani kuwa vitu wasivyovipenda wao kuviona, vitu ambavyo sio maadili mazuri wanafikiri kuwa ni dhambi kuna tofauti sana juu ya hivyo vitu. Kwa hiyo narudia tena kusema mwanaume kuvaa kikuku katika Biblia sio dhambi.“amesema Mchungaji Masanja kwenye mahojiano yake na MASANJA TV huku akirejea kitabu cha Kumbu kumbu ya Torati 22:5 .
Hata hivyo, Masanja amesema Cheni ni cheni tu na hakuna mtu wa kumpangia binadamu mwenzie sehemu ya kuvaa na hakuna cheni ya mwanamke zote ni cheni tu.
“Kikuku ni cheni tu, hakuna cheni ya kivulana wala cheni ya kike cheni ni cheni na ukiamua kuvaa mkononi au shingoni sio dhambi kufikiria vibaya mtu kuvaa cheni mguuni huo ni uchizi wa hali ya juu. Kwahiyo kama kuna mtu anaona kuvaa micheni miguuni ndio raha muacheni avae“.
Kwa upande mwingine Masanja amesema kuwa Mungu hajamuumba binadamu aokoke ili awe nyuma ya fasheni bali alimuumba aendane na fasheni pia na amediriki kusema kuwa hata yeye angekuwa vizuri kiuchumi angenunua cheni za dhahabu na kutupia shingoni.
Masanja ametoa kauli hiyo ikiwa ni mwezi mmoja sasa umepita tangu msanii wa muziki nchini Tanzania, Diamond Platnumz avae cheni mguuni wakati akiwa kwenye ziara yake ya kimuziki nchini Marekani jambo ambalo lilizua kwenye mitandao ya kijamii nchini.
SOMA ZAIDI-Mashabiki wacharuka Instagram kisa picha inayomuonyesha Diamond kavaa ‘kikuku’
Fasheni au ushoga
M
k*****ke zenu achene kutuzalilisha wanaume mnamegwa nyie, u***e huo!
Hahahaaaaaaaaaa yaani hicho ni kikuku tu watu povuuuuu je angevaaa kibataaa??? SEMA TAMADUNI ZETU NDIO CHANGAMOTO INAPOKUJA HAPO
Hao c walewale tu hata utajili wao unatia shaka
Hahahaha masanja simchemzo fashen mbona yy havai
Kwnza uyo masanja mda ote yupo kweny ndege xijui anaubiri saa ngp
kwani pasta anatafuta mukate na divai na daimond atuambiye kwama kasha badili dini tujuwe aweke waja
Huyu ni mchungaji au mpiga dili km walivyo wapiga dili wengine?
Hakuna mchungaji hapa
Ao Freemason tu wanateteana unazani kuna mchungaji wanamna hiyo alafu na mchungaji gani ana vaa chain nyie ni #illuminati
Basi sawa
Duuh hela hizi
Mafara hao wote
Ila Kuna kitu nyuma ya pazia huyu jamaa a napata shida sana pa1 na kufanikiwa lkn..inaonekana kuna vitu anafanya pasipo kupenda
Wote machoko ao
Avaee ma chachandu kabisa
kwani hakuna asio jua domo ni shoga
Looo
Watu wanachezea dini Kiukweli huyu masanja ni kanjanja tuu anatetea upuuz
Duuh, sasa we mchungaji akiliyako ikohivyo je hao waumin watakuwajeee……??!!
Mambo ya fashoooooni
Mchungaji yupo hivyo
Freshi aendelee kuvaa cz amenunua yy mwenyewe, sasa wale wapenzi wa diamond na wakaamua kutengeneza uteam , anzeni kuvaa na nyie muone mtaani patakuaje
My atary
iman potofu peleka kule
tatizo la wabongo au binadamu kitu wasichokipenda kwao kinakua dhambi ukifanya, ivi ni wapi vitabu vya dini vimezungumzia kuhusu kikuku.
Namshauri masanja havae bikini huku kwetu sio dhambi tena wanatembea nazo barabarani tu.
#Pumbavu
Kaka nawe tunakuruhusu kuvaa bikini maana ni vazi tu na halina shida mwilini tena linapendeza
we fata Maisha yako jambo la kuingilia uhuru wa mwili wa mtu c sahihi, kila mtu acha utumie mwili wake apendavyo ilimradi avunji sheria za nchii. sasa con haja ya ww kutokwa mapovu na matumiz ya mwili wa mtu
Ponera Thomas, hahahah nini shidaa? Ile sio Imani potofu ni imani ya watu ndyo mana wanaifata na kuabudu
Wote ndo walewale tu ……… Sio kila asemae bwana bwna atakaeuona uflme wa Mungu