Habari
Miyeyusho amtwanga Nassib Ramadhan kwa T.K.O katika raundi ya kumi
Bondia Fransic Miyeyusho jana jioni alimtwanga Nassib Ramadhan kwa T.K.O katika raundi ya kumi ya pambano katika pambano la kugombea mkanda wa WBF uliofanyika katika ukumbi wa Sab Saba PTA Hall.