Burudani

Mjapan anaondoka Tanzania akiwaza supu ya utumbo (Video)

Awaimbia marafiki zake Kwangaru ya Harmonize kuwaaga

Mjapan Ikwito ambaye alikuwa nchini Tanzania kwa miaka 3 ameondoka nchini na kwenda Japan baada ya kuwa Tanzania kwa shughuli mbalimbali za kijamii pamoja na biashara.

Mjapan huyo aliwaaga marafiki zake wa Tanzania kwa kuwaimbia wimbo Kwangwaru wa @harmonize_tz , alidai vitu vya Tanzania ambavyo atavikumbuka akiwa Japan ni Supu ya Utumbo ambayo kule hakuna.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents