Michezo
Mkwasa atangaza kuahirishwa mkutano mkuu wa Yanga (+Video)
Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga, Charles Boniface Mkwasa amesema kuwa mkutano mkuu wa wanachama wa Yanga umesogezwa mbele kufuatia kuwa na majukumu mengi ya timu hiyo kwenye michuano ya kimataifa.