Burudani
Msibani kwa Kiroboto aliyefariki ghafla baada ya kuanguka chooni (Video)
Bongo5 imefika kwa Azizi Ally Temeke jijini Dar Es Salaam kwenye msiba wa msanii Kiroboto Matarumbeta aliyefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kudaiwa kuanguka chooni.
Mmoja wa rafiki zake wa karibu amedai jana walishinda na msanii huyo na hakuwa na tatizo lolote mpaka alivyojisikia vibaya majira ya usiku wakati anajiandaa kwenda kwenye show.