Kama kawaida baada ya Pambano kuisha lazima Mwakinyo angeongea na wana habari tu. Huwa haishiwi maneno Mwakinyo na ameulizwa mambo kadhaa kuhusu mchezo husika.
Msikilize Mwakinyo kwa makini halafu tia comment yako hapa chini.
Kama kawaida baada ya Pambano kuisha lazima Mwakinyo angeongea na wana habari tu. Huwa haishiwi maneno Mwakinyo na ameulizwa mambo kadhaa kuhusu mchezo husika.
Msikilize Mwakinyo kwa makini halafu tia comment yako hapa chini.