Habari

Mwijaku awashitaki Harmonize na Kajala Usitawi wa Jamii, aomba waitwe wahojiwe atoa sababu hizi

Katika Hospitali ya Mwananyamala kuna dawati la USTAWI WA JAMII ndiko alipoenda DC wa Instagram @mwijaku kwa ajili ya kutoa malalamiko yake juu ya @harmonize_tz na @kajalafrida akieleza kuna mambo yanaendelea sio mazuri katika malezi ya binti yule.

@mwijaku amewaomba USTAWI WA JAMII akijitambulisha kama mwanaharakati kuwa @harmonize_tz na @kajalafrida waitwe wahojiwe na ameenda mbali zaidi akisema ushahidi wote yeye anao juu ya yanayoendelea.

Sikiliza namna @mwijaku akitoa maelezo USTAWI WA JAMII KINONDONI.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents