Habari

Mwijaku: Mimi ni mwanaharati ninayependa haki, ushahidi wote ninao

Baada ya kukutwa Mwananyama ofisi za Ustawi wa Jamii aliulizwa na @el_mando_tz kuwa unachochote cha kusema?? bwana Mwijaku alisema kuwa “mimi ni Mwanaharakati ninayependa haki, siku zote nafuatilia haki, hii ndio maana halisi ya kioo cha jamii”

Aliendelea kuulizwa je una ushahidi wowote juu ya haya unayoyashtaki Ustawi wa Jamii?? alijibu kuwa nina ushahidi wote”

 

Kufahamu mkasa mzima temebela akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive. Written and edited by @el_mando_tz

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents