Bongo5 ExclusivesBurudaniHabari
Nay wa Mitego: Sallam na Tale wamependelea, msilalamike
Rapa wa muziki wa Bongo Fleva @naytrueboytz wamewashangaa wasanii wanaolalamika kuhusu orodha ya wasanii wa Bongo Fleva waliofanya vizuri kwa mwaka 2022 ambayo ilitolewa na mameneja wa @diamondplatnumz @sallam_sk na @babutale
@naytrueboytz ameweka wazi kuwa huwezi kuumia kwa orodha iloyotolewa kwani walioyoitoa wamevuta upande wao.
Ikumbukwe kuwa katika orodha hiyo hakukuwepo na msanii yoyote wa Singeli wala Hip Hop na @naytrueboytz ni msanii wa Hip Hop.
Kwa upande wake orodha yako ni ipi ya wasanii waliofanya vizuri kwa mwaka 2022??