Bongo5 ExclusivesBurudaniHabari

Sallam Sk ataja waigizaji bora, Wolper No.1

Meneja wa @diamondplatnumz @sallam_sk bado anaendelea kutoa orodha ya wasanii waliofanya vizuri kwa mwaka 2022.

Baada ya kutaja wasanii wa muziki wa Bongo Fleva leo ametoa orodha ya wasanii wa Bongo movie waliofanya vizuri.

Katika orodha hiyo @wolperstylish namba moja

Je unakubaliana na orodha aliyoitoa Mendez au wewe una ya kwako?? 🤓

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents