Yanga SC wanashuka uwanja wa Olympic Rades pale Tunis kutupa karata yake ya kwanza dhidi ya US Monastir katika hatua ya Makundi Michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika majira ya saa 1:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki.
Tupia neno moja kwa Yanga
Credit by @fumo255