Bongo5 ExclusivesBongo5 MakalaBurudani

Nyota wa Nigeria Shallipopi atua nchini, Jukwaa moja na Marioo

Usiku wa kuamkia leo Nyota wa muziki kutokea Nchini Nigeria @theycallmeshallipopi amewasili Nchini kubwa zaid ni kwa ajili ya show kubwa kesho pale Warehouse Masaki ikiwa ni Twelve Forty Five Outside – 1245 Outside huku akisindikizwa na madj wakali akiongozwa na @djjoozey pamoja na msanii @marioo_tz

Majira ya mchana Nyota huyo atazungumza na waandishi wa habari

Video Nzima ipo katika Akaunti yetu ya youtube ya Bongo5

 

 

 

 

 

 

https://www.instagram.com/reel/C75zo02NYwH/

 

Imeandikwa na Mbanga B.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents