Burudani

Orodha kamili ya washindi wa tuzo za AFRIMA

Zoezi la ugawaji wa tuzo za muziki za AFRIMA (All Africa Music Awards) kwa mwaka 2017 limehitimishwa jana nchini Nigeria katika Hoteli ya Eko.

Mastaa kadhaa wameweza kujishindia tuzo hiyo kubwa ya muziki kama vile Wizkid, Simi, M.I, Tiwa Savage, Ycee, Orezi, 2Baba, Alikiba na wengineo.

Kwa upande wa Wizkid aliondoka tatu ambazo ni Song of the Year, Artist of the Year & Best West African Act (Male), na kwa msanii Alikiba aliondoka na tuzo mbili Best Africa Collaboration na Best Artist or Group in Africa RnB and Soul.

Orodha kamili ya washindi;

Best Central African Act (Male) – Locko

Best Central African Act (Female) – Montess

Best East African Act (Male) – Eddy Kenzo

Best East African Act (Female) – Nandy

Best Southern Africa Act (Male) – Emtee

Best West African Act (Male) – Wizkid

Best West African Act (Female) – Tiwa Savage

Best African Collaboration – Alikiba feat M.I – “AJE“

Best Artist in African Rock – Gilad Millo (Kenya)

Best Artist or Group in African RnB & Soul – Alikiba feat. M.I – “AJE“.

Best Artist or Group in African Contemporary: DJ Tunez feat. Wande Coal – “Iskaba“

Best Artist or Group in African Raggae & Dancehall – 2Baba – “Holy Holy“

Best Artist or Group in African Hip Hop – Ycee – “Juice“

Best Artist of Group in African Pop – Toofan

Video of the Year – Orezi x Adasa Cookey – “Cooking Pot“

Best Female Artist in Inspirational Music: Asikey George

African Songwriter of the Year – Simi

Producer of the Year – DJ Coublon for Seyi Shay’s “Yolo Yolo“

Artist of the Year – Wizkid

Song of the Year – Wizkid feat. Drake – “Come Closer“

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents