Burudani

Phaedra Parks atimuliwa RHOA

Mwigizaji kwenye show ya RHOA( the Real Housewives of Atlanta) Phaedra Parks ametimuliwa kwa kusambaza uongo na umbea juu ya muigizaje mwenzake kuhusika katika kubaka.


Phaedra Parsks

Chanzo cha karibu na waandaje wa RHOA amesema kuwa, Phaedra amesambaza uongo kwa Porsha Williams kuhusu Kandi Burruss wakati wa msimu uliopita wa tamthilia hiyo.


Kandi na Todd Tucker

Phaedra alimueleza Porsha kuwa Kandi na mpenzi wake Todd Tucker walipanga kumuwekea madawa ya kulevya kisha kumpeleka nyumbani na kutaka kufanya naye ngono.

Siku ya jumapili kwenye msimu huo amabo utaendela kwenye msimu wa tisa, Siri zote zilifichuka na Phaedra amejulikana kwa kuongea uongo huo.

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents