Lady Jay DeePicha

Picha: Lady Jaydee na Gadner waendelea na safari ya kupanda Mt. Kilimanjaro

DSC_0540

Jana Lady Jaydee akiwa na mumewe Gadner G Habash walianza safari yao ya kuupanda mlima Kilimanjaro kwa kupitia njia ya Marangu.Safari hiyo ya siku sita inaongozwa na kampuni ‘Kilidove Tours and Safaris Ltd’ ya Arusha.

Wengine wanaoongozana nao ni mpiga picha wake Justin Bayo.

Picha ya pamoja
Picha ya pamoja
Lady Jaydee akisalimiana na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya KINAPA Erastus Lufungilo kabla ya kuanza safari.
Lady Jaydee akisalimiana na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya KINAPA Erastus Lufungilo kabla ya kuanza safari.
Lady akiwa kweye ofisi ya Mhifadhi mkuu wa KINAPA
Lady akiwa kweye ofisi ya Mhifadhi mkuu wa KINAPA
Wakijiandaa na safari
Wakijiandaa na safari

DSC_0550

Lady Jaydee akiwa na mumewe Gadner
Lady Jaydee akiwa na mumewe Gadner
Jide na mpiga picha wake
Jide na mpiga picha wake

PICHA: http://www.kilidovetours.blogspot.com/

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents