Picha: Linah alivyoagwa rasmi na THT na kuzindua video yake
Jana July 16 ilikuwa ni siku muhimu sana kwa Msanii Linah Sanga ambaye aliungana na wadau mbalimbali wa burudani waliokusanyika katika ofisi za Tanzania House of Talent (THT) kupata futari, na baada ya hapo THT ilitumia nafasi hiyo kumuaga rasmi Linah ambaye amepata uongozi mpya unaoitwa No Fake Zone Entertainment.
Linah pia alizindua video na audio ya wimbo wake mpya ‘Ole Themba’ na kutoa zawadi kwa watu waliom-support alipokuwa hapo THT.
Babu Tale
Jacob na Beatrice
Mkubwa Fella
Dj Bike na B12
Msanii wa Bongo Movie Batuli akimwagia maji Shetta ambaye pia ilikuwa Birthday yake
Queen Darleen nae alimwagia maji yakutosha Shetta
Shetta akiwa haamini kilichotokea baada ya kujikuta yupo mtu kati
Mpishi futari akiwa na team yake Sele Facebook a.k.a Big Dady
Sele Facebook akiongea jambo na rafiki yake
Michael Mlingwa
Lameck Ditto
Cloud
Godwin Gondwe
Madee na Chege
Shaa
Steve Nyerere
Rose Ndauka
Hii ndo gari aliyokujanayo Linah
Linah
Mwasiti akipokea Cheti kutoka kwa Mkurugenzi wa Tanzania House of Talent (THT) Ruge Mutahaba
Emma the Boy nae alipata cheti cha mfanyakazi hodari
Ditto alipata Cheti nae kuwa kiongizi bora wa wa THT
Linah alimzawadiwa boss wake zawadi kama shukrani ya kumfikisha alipo leo hii
Linah pia alimzawadia mwalimu wake Nkya zawadi ya kumlea alipokuwa hapo THT
Linah pia alimzawadia Rehema kwa kumlea alipo kuwa hapo THT
Linah pia hakumsahau Producer Nash ambaye pia ndiye muandishi wa hii ngoma yake ya Ole themba
Linah akiwa na Dj Ibra