Burudani

Picha: Ludacris amchumbia girlfriend wake raia wa Gabon kwa ‘style’

Hatimaye rapper Ludacris amemchumbia girlfriend wake wa miaka minne, Eudoxie Fabiola Agnan.

screenshot2014-12-26at110340pm_zps80af3e9c

Kufanya hivyo, rapper huyo alichukua ndege binafsi hadi Costa Rica akiwa na watu wake wa karibu akiwemo binamu yake Monica na mumewe Shannon Brown.
screenshot2014-12-26at111158pm_zps1823b90b

Wakati ndege hiyo ipo juu ya uwanja wa mkubwa, Eudoxie aliangalia chini na kuona maneno: Eudoxie, Will You Marry Me”yaliyokuwa yamechorwa kwenye majani.
Ludacris-girlfriend-Eudoxie-Agnan-pic

Eudoxie alizaliwa nchini Gabon kwenye familia ya kawaida na mama aitwaye Jermaine Agnan. Alihamia Marekani mwaka 2001 akiwa na miaka 15.

Eudoxie-Agnan-Ludacris-girlfriend_image
Eudoxie akiwa na mama yake enzi za utoto

Eudoxie-Agnan-Ludacris-girlfriend_picture

Related Articles

Leave a Reply

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents