Bizzare

Picha: Msichana asiye na mikono ashinda tuzo la muandiko bora

Msichana wa miaka saba aliyezaliwa bila mikono ameshinda shindano la muandiko mzuri nchini Marekani.
Mtoto

Anaya Ellick kutoka Chesapeake, Virginia hatumii viungo vya kumsaidia wakati anapoandika.

Wakati anapoandika yeye husimama huku akishikilia kalamu yake katika mikono.

Mwalimu wake mkuu Tracy Cox kutoka shule ya Greenbrier Christian amemtaja kuwa mtu wa mfano mwema.

“Yeye uhakikisha kuwa hakuna kitu kinachomzuia kufanya atakalo”, alisema Cox.”Ni mkakamavu na ana muandiko mzuri katika darasa lake”.

Msichana huyo anadaiwa kuwashinda washindani wengine 50 ili kushinda taji hilo la kitaifa.

Orodha hiyo ya tuzo huwazawadi wanafunzi wenye akili, matatizo ya kimwili, au ulemavu endelevu
33E72DA800000578-0-image-a-42_1462546987844

33E72DB000000578-0-image-a-41_1462546930954

33E77DF200000578-3577342-image-a-54_1462548571206

Source:Mailonline na BBC

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents