Habari
Picha: Rais Magufuli aongoza kikao cha Halmashauri Kuu (NEC)
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ameongoza kikao cha Kamati Kuu na kikao cha Halmashauri Kuu(NEC). Ambapo kesho kutakuwa na mkutano Mkuu wa CCM unaotarajiwa kumalizika tarehe 19, Disemba mwaka huu.