Habari

Rais Kagame kuongoza Rwanda

Tume ya Uchaguzi nchini Rwanda , imemtangaza Rais Paul Kagame kuwa mshindi wa kiti cha Uraisi katika uchaguzi uliofanyika jana.

Rais Kagame ambaye amekuwa madarakani kwa miaka kumi na saba, ameshinda nafasi ya Uraisi kwa kupata asilimia 98 ya kura zilizohesabiwa baada ya uchaguzi huo.

Uchaguzi huyo ulihusisha chama cha Rais Paul Kagame (Rwandan Patriotic Front )RPF, chama Green Party cha Frank Habineza na Philippe Mpayimana, mgombea huru.

Baada ya matokeo hayo wapinzani wa Kagame wamelalamika kuwa wafuasi wao walisumbuliwa wakati wa kampeni hali iliyopelekea kutokuwepo kwa wapiga kura wa kutosha jambo ambalo limepigwa na chama tawala.

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents