Burudani

Rapper J93 alia na G Nako ”Natamani kuja kuonana naye, Video yangu imegharimu laki 5” (+Video)

Rapper chipukizi maarufu kama J93 amemmwagia sifa lukuki msanii G Nako kutokana na uwezo wake huku akidai kuwa anatamani siku moja kuonana naye.

J93 ameyasema hayo wakati akitambulisha video yake mpya inayojulikana kama ‘HELLO’

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents