Burudani

Ratiba ya Mazishi ya director George Tyson

Mwili wa marehemu George Tyson unatarajiwa kuletwa nyumbani kwake (Mbezi makonde) June 3 jioni kuanzia saa kumi na mbili jioni kwa ajili ya kuagwa

Screen-Shot-2014-05-31-at-01.58.00

Mwili utalala nyumbani kwake Mbezi na kesho yake Jumatano (June 4) utapelekwa Leaders club kwa ajili ya kuagwa kuanzia saa nne asubuhi.

Baada ya kuagwa mwili wa marehemu utapelekwa moja kwa moja uwanja wa ndege wa Julius Nyerere kwa ajili ya kusafirishwa kwenda Nairobi Kenya kwa mazishi.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents