Mahojiano
S2kizzy na Mocco walivyokutana studio, Watu wanahisi hatuelewani kisa tunafanya kazi na Alikiba na Diamond (+Vide)
Moja ya watayarishaji wa muziki wanaofanya vizuri kwa sasa katika tasnia ya muziki wa Bongo Fleva @moccogenius na @s2kizzy wamekutana na kupiga stori nyingi sana.
Waiongea na Bongo5 @s2kizzy amesema kuwa watu wengi huwa wanamwambia hivyo kuwa anawezaje kuwa karibu na @moccogenius haliyakuwa yeye anafanya kazi na @diamondplatnumz huku @moccogenius akifanya kazi sana na @officialalikiba