BurudaniHabari

Sallam Sk ataja nyimbo zake 10 bora kwa mwaka 2022

Meneja wa @diamondplatnumz @sallam_sk bado anaendelea na orodha ya mambo mablimbali yaliyokiki kwa mwaka 2022.

Baada ya kutaja orodha ya wasanii wa Bongo Fleva na baadae kuja na wasanii wa Bongo movie, leo amekuja na orodha ya ngoma(nyimbo) 10 zilizofanya vizuri kwa mwaka 2022.

1. Watasubiri ya @diamondplatnumz ft @officialzuchu

2. Yataniua @mbosso_ ft @diamondplatnumz

3. Nakupenda @realjaymelody

4. Kwikwi @officialzuchu

5. Naogopa @marioo_tz ft @harmonize_tz

6. Nitongoze @rayvanny ft @diamondplatnumz

7. @Utu @officialalikiba

8. Desh Desh @iamlavalava

9. Pita Huku @dullamakabila

10. Champion @kontawaa ft @naytrueboytz

Kwa upande wako unaionaje hii orodha ya ngoma bora??

Unaswali?? Au una orodha yako??

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents