Habari
Serikali yasema haitambui taasisi ya TSSF kuhusika na utoaji wa mikopo
Wizara ya Elimu imesema haitambui taasisi ya Tanzania Social Support Foundation (TSSF) ambayo inajitangaza kuhusika na kutoa mikopo yenye riba kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu.
Soma taarifa kamili: