Burudani

Shine TTW ameachia EP ya The Chosen One

Mwimbaji mahiri ShineTTW, leo ametoa EP yake mpya iitwayo, ‘The Chosen One’, yenye ngoma zipatazo nane.

EP hii sio tu mkusanyiko wa nyimbo nane, lakini ni ngoma zinayoonyesha talanta kubwa ya ShineTTW katika anga ya muziki ya Kiafrika.

‘The Chosen One’ ni EP inaonyesha mtindo wa msanii huyu wa Afro Sentio, ambaye anafanya muziki wa R&B na muziki wa pop wa Nigeria kwa utafauti mkubwa na kwa hali tulivu.

‘The Chosen One’ ni hadithi ya safari yangu. Ni kuhusu kusimama nje na kukumbatia njia niliyochagua. Kila wimbo ni onyesho hisia zangu ambazo zinazofafanua muziki wangu, ni kama kuhisi, kuona, na kufurahia maisha kupitia sauti,” alisema ShineTTW mzaliwa wa Chukwuma Chinaza Ferdinand.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents