Habari
Too sexy to fly? Air New Zealand yashambuliwa kwa kutengeneza video ya usalama ndani ya ndege yenye utata
Shirika la ndege la Air New Zealand limeshambuliwa kwa kutengeneza video ya usalama kwenye ndege ambayo huweka wakati ndege inajiandaa kupaa ikihusisha warembo wakiwa na bikini na nguo za utata. Wengi wanasema video hiyo inatamanisha mno!!