Habari
Tukiambiwa uchumi umepanda tunataka tuone umaskini kwa Watanzania umepungua – Mbunge Kombo (+video)
Mbunge Wingwi,Juma Kombo Hamad, amesema kuwa watakapo ambiwa na serikali kuwa uchumi wa Tanzania umepanda anataka kuona umaskini kwa Watanzania umepungua.Tazama video hii Mbunge huyo akieleza:
Mbunge Juma Kombo ametoa kauli hiyo wakai akichangia hoja mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya serikali 2018 / 2019 iliyowasilishwa Bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango.