“Tumesikia kauli za Kocha wa Al-Merrikh anasema kuwa Young Africans inaogopeka Afrika. Sisi tumesoma Cuba, tunamwelewa, hawezi kutuchota, tutauchukulia mchezo wetu wa pili kwa umakini mkubwa. Amesema pia anakuja kufunguka hapa, kwetu sisi ni taarifa njema kwa sababu mnara haukusoma Rwanda, hivyo tukipishana nao itakuwa fursa ya kusimamisha mnara,”- Alikamwe
Join our mailing list to get the latest news!
Related Articles
Check Also
Close
-
MUSIC AUDIO: Cassase – KILIMANJARO1 week ago
-
MUSIC AUDIO: Wakateezo Ft Msami – MUZIKI2 weeks ago