Burudani
Video: Diamond ni mjanja sana, wasanii wengi wameshindwa – Sappy
Producer wa muziki na rais wa Sappy Music Lab, Sappy amefunguka kuzungumzia namna wasanii wanashindwa kutoa kimataifa huku akidai Diamond ndiye msanii mjanja pekee Tanzania aliyejua nini anatakiwa kufanya kwaajili ya kwenda Kimataifa.