Habari
Video: Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu waendelea kumlilia Mh. Lissu
Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Helen Kijo-Bisimba amesema kuwa serikali ina paswa kuheshimu haki za kisiasa watu walizonazo wanasiasa.Tazama video hii Mkurugenzi huyo akimzungumzia Mh. Tundu Lissu aliyepigwa risasi na watu wasiojulikana Septemba 7 mwaka huu eneo la ‘area D’ mjini Dodoma.