Burudani
Video: Kupata mtoto nje ya ndoa ilikuwa bahati mbaya – Kala Jeremiah
Msanii wa muziki wa hip hop, Kala Jeremiah amedai hakupanga kupata mtoto nje ya ndoa. Rapa huyo amedai ameipokea bahati mbaya hiyo kama zawadi kutoka kwa Mungu katika maisha yake.