Habari
Video: Nchi hii ina uwezo wa ajabu, ndio maana tunaonewa wivu – Rais Magufuli
Katika mapokezi ya ndege Bombardier Jumatatu hii, Rais John Pombe Magufuli amefunguka kuzungumzia namna nchi ya Tanzania inavyoonewa wivu na baadhi ya watu. Aliyasema hayo mapema jana katika mapokezi ya ndege hiyo uwanja wa JK Nyerere Dar es salaam.