Wakenya wamkalia shingoni Victoria Kimani baada ya kuwaambia hawasupport wasanii wao
Victoria Kimani analihisi joto la hasira kutoka kwa wakenya walioanzisha hashtag #SomeoneTellVictoriaKimani baada ya juzi kuwalalamikia kuwa wamekuwa nyuma kuwaunga mkono wasanii wao.
“Life without art is hell….how can the Kenyan youth not have an interest in the arts ? Who robbed us of our self expression?” alitweet Kimani.
“Lupita had to travel and be uplifted by others for you be proud. We are the least patriotic people on this continent as it pertains to the arts,” aliongeza.
“The least supportive …. Kenyans make it hard for an artist to be an artist , this includes fashion art music acting whatever.Then get angry when we are appreciated elsewhere, this is heartbreak,” alisisitiza.
Hata hivyo kauli yake imeamsha hasira za wakenya wengi walioanzisha hashtag hiyo.
Hizi ni baadhi tu ya tweets:
How victoria kimani is feeling right now #someonetellvictoriakimani pic.twitter.com/r1Sthldnku
— Nick Kim (@nick_kym_jr) July 20, 2015
When yo up in the club having a good time and the DJ tries to play Victoria's music
#SomeoneTellVictoriaKimani pic.twitter.com/uDuxTHTAYI
— ★♚ SUCKER ♞ FREE ♚★ (@Iam_Ril3y) July 20, 2015
Right now am like,ati Victoria Kimani is an artist #someonetellvictoriakimani pic.twitter.com/zn8sYWG5MW
— LEO™ 12 AUG (@Cosi_GM) July 20, 2015
#someonetellvictoriakimani here is the List of people who know her songs pic.twitter.com/G5izeuai02
— Victor Mateso Tupu™ (@victormatara) July 20, 2015
Victoria Kimani trying to save her music career #SomeoneTellVictoriaKimani pic.twitter.com/9FsVf1ceV2
— Victor Mateso Tupu™ (@victormatara) July 20, 2015