Habari
Wizara ya Maliasili na utalii yafungua rasmi ofisi zake Dodoma
Wizara ya Maliasili na utalii inautaarifu umma kuwa awamu ya kwanza ya watumishi 52 wa wizara ikiongozwa na waziri wake imeanza rasmi kazi kwenye ofisi zake mjini Dodoma.
Hii ni taarifa yake:
By: Emmy Mwaipopo