Michezo

Yacouba Songne ana jambo lake Avic Town

UPDATE: YACOUBA SONGNE – Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga bado haijakamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji raia wa Burkina Faso, Yacouba Songne kwa msimu ujao. – Mpaka sasa makubaliano ni kuwa atafanya mazoezi katika Kambi ya Yanga hadi atakapopata timu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents