Michezo
Yanga imekuwa Kero – Farhan Kihamu
Ukiachana kero kadhaa ndani ya nchi, kero ya daladala, kero za upwiru, kero za bei za mafuta kupanda na kushuka, kero ya mvua basi ongeza na kero nyingine nayo ni YANGA AFRIKA, ni kero tu! Ligi Kuu wanaongoza, FA wanaitaka, Derby wametakata, ni kero tu, ukisema Pacome kafungiwa ghafla unamkuta ni kero tu, ukisema wananunua mechi wenyewe wanakuuliza umewafunga lini? Ni kero tu! Wananchi ni kero tu.
Imeandikwa na Mbanga B.