Michezo
Vinicius Junior na Rekodi za ajabu Klabu Bingwa Ulaya (Video)
30/2 —TANGU 2021-22, supastaa wa Real Madrid, Vinicius Junior amehusika na mabao mengi zaidi Ligi ya Mabingwa Ulaya kuliko mchezaji yeyote Ulaya (30 – kafunga 15, asisti 15). Pia kafunga mara 2 katika mechi moja ya mashindano mara 13, na tano kati ya hizo msimu huu akifanya hivyo mara nne Ligi ya Mabingwa.
Imeandikwa na Mbanga B.