Burudani
Zuchu ataja tarehe ya kuachi nyimbo mbili kwa pamoja
Staa wa muziki kutoka katika lebo ya WCB @officialzuchu amewataarifu mashabiki wake kuwa mnamo tarehe 24/6 ataachia ngoma mbili.
Kupitia post hiyo @officialzuchu amewaomba mashabiki wamtajio ngoma wanayoitaka huki yeye akiwatajio ngoma yake pendwa.
Ameandika kuwa: “24/06/2022 Ndo siku yetu naomba tena radhi kwa usumbufu nitakaosababisha 😎.DOUBLE RELEASE 🤗🤗
1:JARO
2:….?
Naomba mnisaidie jina Kwa ajili ya hii DOUBLE RELEASE