Michezo

Adebayo atua Singida Black Stars

SINGIDA Black Stars (zamani Ihefu) imedaiwa ipo katika mazungumzo na nyota aliyewahi kutakiwa na Simba, Victorien Adebayo kutoka NigerĀ  sambamba na kipa kutoka AC Horoya ya Guinea, Mohamed Kamara.
Taarifa kutoka ndani ya klabu hiyo zinasema kuwa, Singida inamtaka Adebayor aliyewahi kucheza RS Berkane na AmaZulu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents