Burudani
Albamu ya Diamond mbaya kama sura yangu – Harmorapa
Msanii wa Rap Bongo,Harmorapa ameibuka na kuiponda Albamu ya Diamond βA boy from Tandaleβ na kudai ni mbaya kama ilivyo sura yake.
Harmorapa ambaye amejipatia umaarufu kwa kudaiwa kupenda kiki ameiponda Albamu hiyo iliyofanyiwa uzinduzi rasmi nchini Kenya hivi karibuni.
βBro #chibu nae kelele nyingi za album miez saba mwisho wa siku anatutolea Album mbovu kama sura yangu sokweπ‘π‘cha kukushaur simba kama mkataba wako wa karanga umeisha kaa dukani kwa Dada yako #Esma umsaidie kuuza vitenge ππ β
Dunia Kwa sasa inasubili ulbum yangu ya #uThigawePathi na ulubamu ya #kingkiba_for_lifeπππππππππππππͺπͺπͺπͺπͺπͺ,β ameandika Harmorapa kupitia ukurasa wake wa Twitter.