Burudani

Alikiba na Christian Bella waingia studio kuandaa ngoma mpya

Christian Bella na Alikiba wameingia studio kutengeneza ngoma ya pamoja.

11176135_445954435567382_2057564129_n

Kupitia akaunti yake ya Instagram, jana Christian Bella aliaandika: Leo tunakesha studio na Ali Kiba maana mashabiki waliomba sana tuimbe pamoja kaeni makao wakula sasa.

Naye Alikiba aliposti picha ya pamoja na Christian Bella na kuandika ‘It’s coming.’

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents