Burudani
Alikiba na Christian Bella waingia studio kuandaa ngoma mpya
Christian Bella na Alikiba wameingia studio kutengeneza ngoma ya pamoja.
Kupitia akaunti yake ya Instagram, jana Christian Bella aliaandika: Leo tunakesha studio na Ali Kiba maana mashabiki waliomba sana tuimbe pamoja kaeni makao wakula sasa.
Naye Alikiba aliposti picha ya pamoja na Christian Bella na kuandika ‘It’s coming.’