Burudani

Amani wa Kenya afunga ndoa kwa siri

Msanii kutoka nchini Kenya Cecialia Wairimu maarufu kama Amani ambaye pia aliwahi kuwa mpenzi wa msanii wa Bong Flava, AY ametaja sababu za ukimya wake wa muda mrefu katika muziki.

Kwa mujibu wa mtandao wa Daily Post, umesema sababu ya ukimya huo wa Amani ni kutokana na kufunga ndoa ya siri na mumewe ambaye ni raia wa Nigeria anayefanya kazi nchini Kenya kama Mkurugenzi wa kikanda wa tawi la kampuni ya simu ya Tecno.


Amani akiwa na mumewe

“It’s a done, I’m already married. I’m someone’s wife now. I know many are waiting to see a wedding but I’m one very private person,” amesema Amani.

“That’s why yo don’t see me doing interviews in my house or other intrusive stuff like that,” ameongeza.

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents