Burudani
Amber Rose anawaza kuolewa na huyu jamaa
Kama video vixer Amber Rose, akiolewa kwa sasa basi rapper 21 Savage, ndiyo jamaa atakaye pata zali hilo kutoka kwa mrembo huyo.
Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, mrembo huyo amebainisha kutamani kuolewa hasa na kijana 21 Savage kutoka Atlanta, ambaye waliweka wazi mahusiano miezi michache iliopita baada ya kunaswa mara kadhaa na mapaparazi wakiwa zero distance.
“I just got back from Atlanta. I’m in love, I’m happy….I wanna marry him, but we’ll see,” amesema mrembo huyo baada ya kugoma kuongea ishu na Mama wa rapper Wiz Khalifa amabye alidai mrembo huyo hamlei vizuri mjukuu wake Sebastian ndipo akasema ni bora niongelee mahusiano yangu ya sasa.
Na Laila Sued